Nawezaje kumkomesha huyu mwanamke?

Nawezaje kumkomesha huyu mwanamke?

Amekula sana hela zangu.
Amepoteza muda wangu
Ameniharibia network na baadhi ya watu,

Amenitukana sana na kunidharirisha

Wazazi wake wote wananipa maneno mabaya juu yangu...

Na yeye dharau haziishi na maneno ya kuniumiza.
Sasa ungeeleza vizuri ili ueleweke..
 
Sometimes kuku ni ndege mwenye akili za kiduanzi /
Kwa mfano anaweza akawa anamkimbiza panzi/
Kutoka boko bunju mpaka mbagala chamazi/
Endapo ikatokea yule panzi akapaa juu ya muanzi/
kuku huanza kufanya kitu kingine palepale na kusahau kama alikuwa anamkimbiza panzi.

By: Malle
 
Sometimes kuku ni ndege mwenye akili za kiduanzi /
Kwa mfano anaweza akawa anamkimbiza panzi/
Kutoka boko bunju mpaka mbagala chamazi/
Endapo ikatokea yule panzi akapaa juu ya muanzi/
kuku huanza kufanya kitu kingine palepale na kusahau kama alikuwa anamkimbiza panzi.

By: Malle
So what??
 
Amekula sana hela zangu.
Amepoteza muda wangu
Ameniharibia network na baadhi ya watu,

Amenitukana sana na kunidharirisha

Wazazi wake wote wananipa maneno mabaya juu yangu...

Na yeye dharau haziishi na maneno ya kuniumiza.
Tafuta hela acha kulia lia
 
Back
Top Bottom