Kwa hawa lazima tuandamane maana hata wakikupiga Kofi lazima uhisi mahaba
Duh, umenihamashisha kushiriki ukuta! Watoto wazuriiiiiii na pozi la kumwaga.
Watoto wazur kama hao.. Nakosaje sasa ?
Yaani wakiwapo hao, nami nitakuja nionje virungu vyao...
Samahani kwa swali hawa watakuwa mkoa gani jamani?
Badala ya machoziUnaeza kuta anakupiga bomu unaishia kutoa mate tu!..
Haya mate mate yenu msishangae kesho Waziri akiagiza "wale wote waliowatamani polisi kwenye mitandao washughulikiwe" heri mimi sijasema.!