Nawezaje kujua kama simu yangu imedukuliwa?

Nawezaje kujua kama simu yangu imedukuliwa?

Martine Tibe

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2019
Posts
221
Reaction score
159
Hivi nawezaje kujua Kama simu yangu imetrakiwa(hacked/ kudukuliwa) kwa kutumia IMEI ?. Na je ntajiondoaje?
 
piga namba *#61# angalia kama imeandikwa neno FORWARDED uje kuna mtu anasikiliza mazungumzo/sms zako. Na kama ikionyesha neno NOT FORWARDED basi uko salama.
 
Sasa na ukiona hiyo Forwarded unatakiwa uafanyaje
piga namba *#61# angalia kama imeandikwa neno FORWARDED uje kuna mtu anasikiliza mazungumzo/sms zako. Na kama ikionyesha neno NOT FORWARDED basi uko salama.
 
piga namba *#61# angalia kama imeandikwa neno FORWARDED uje kuna mtu anasikiliza mazungumzo/sms zako. Na kama ikionyesha neno NOT FORWARDED basi uko salama.
Hii ni kweli au unatulisha matango pori? Mwaka jana nilicheki nikaona simu zangu zinakuwa forwarded ubalozi wa Marekani. Je nipo salama?
 
Kuondoa au kumzuia mtu asiendelee kutumia namba yako piga ##21# ili kuondoa monitoring devicekwenye namba yako . hope kwa wale wenye doubt jinsi ya kuondoa hizo jibu limepatikana, wish you all the best marafiki
Nadhani code genuine ya ku deactivate call divert ni ##002# kwa mitandao yote.

Hiyo ##21# kuna baadhi ya mitandao inagoma.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom