Nawezaje kuachana na michepuko?

Nawezaje kuachana na michepuko?

amakyasya

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
3,480
Reaction score
918
Napenda kuachana na michepuko ila nashindwa sijui kwa nini. Wife ana vigezo vyote na ananihudumia vizuri najishangaa nilianzaje tabia ya kuchepukachepuka!
 
Napenda kuachana na michepuko ila nashindwa sijui kwa nini. Wife ana vigezo vyote na ananihudumia vizuri najishangaa nilianzaje tabia ya kuchepukachepuka!

acha utoto huo unashindwaje kumwacha au huipendi familia yako?
 
do you get time to pray together with your wife !

ujue ibilisi yupo nje nje bila sala ibilisi anakupitia kirahisi tu kama unavyoshindwa kuachana na mchepuko huyo ni ibilisi tu mkemee
 
Anza kwenda church alafu anza kuwa karibu na mkeo utembee naye itakufanya uanze kusahau michubuko yako hyo!
 
inabidi uombewe hilo pepo la ngono likutoke,nyie ndio msiopitwa na skirt
 
Napenda kuachana na michepuko ila nashindwa sijui kwa nini. Wife ana vigezo vyote na ananihudumia vizuri najishangaa nilianzaje tabia ya kuchepukachepuka!

Jitahidi uchepuke na mke wa mjeshi, akishajua, utaacha tu!
 
Chepuka tu bana weee

Wife kiti gani na kuzuia kichwa cha chini uneshindwaaa

Chepuka hadi m8chepuko iombe poo

Chepuka hadi mkeo ajue

Chepuka mpaka mkeo asarende asepe

We chepuka tu
 
Napenda kuachana na michepuko ila nashindwa sijui kwa nini. Wife ana vigezo vyote na ananihudumia vizuri najishangaa nilianzaje tabia ya kuchepukachepuka!

Ndoa iheshimiwe na with wote ! Ukimpenda utamlinda na hutomsaliti
 
Napenda kuachana na michepuko ila nashindwa sijui kwa nini. Wife ana vigezo vyote na ananihudumia vizuri najishangaa nilianzaje tabia ya kuchepukachepuka!

mkuu ata mimi nina the same problem,manake sasa hivi ndio naingia kwangu nikitokea kwa mchepuko wng flan hv,yan roho inaniuma mbaya nikiangalia wife anavyoniandalia mapochopocho hapa,yani tamaa ndio inanicost cuz mke wng amesimama(mzur) xana,watu kibao wananiambia,sema mm nachepuka xana kwasababu mke wng kajifungua mtoto wakike miezi 2 ilitopita,hvy mm nina sababu ya kuchepuka ila michepuko sio dili japo tunakimbizana NATO.
 
U
mkuu ata mimi nina the same problem,manake sasa hivi ndio naingia kwangu nikitokea kwa mchepuko wng flan hv,yan roho inaniuma mbaya nikiangalia wife anavyoniandalia mapochopocho hapa,yani tamaa ndio inanicost cuz mke wng amesimama(mzur) xana,watu kibao wananiambia,sema mm nachepuka xana kwasababu mke wng kajifungua mtoto wakike miezi 2 ilitopita,hvy mm nina sababu ya kuchepuka ila michepuko sio dili japo tunakimbizana NATO.

Hujaoa wewe bado hiyo lugha ya kifacebook uliyotumia tu inathibitisha hilo
 
Kupanga ni kuamua,suala ni utiyari wako tu huwezi amini saivi nimetulia njia kuu mpaka raha,no michepuko more na nashukuru maana speed nilokua nayo kabla si mchezo
 
U

Hujaoa wewe bado hiyo lugha ya kifacebook uliyotumia tu inathibitisha hilo

lugha ya kifb sio tatizo mkuu,kwa taarifa yako tu jana nimembatiza mwanangu parokia ya ubungo msewe,mimi sio mtoto km unavyonifikiria.
 
Back
Top Bottom