Natanguliza shukrani.....
Natanguliza shukrani.....
Mkuu processor ndiyo inayo determine kama computer ni 64 au 32 na huwezi badili 32 kuwa 64 ila kama computer ni 64 unaweza run any of the 2 windows
mbona watu wanatoa explanation zisizo sahihi my machine ilikua bit 64 ila kutoka na apps za kazi zangu ikawa inakataa inaleta issue nikaweka window ya bit 32 na imekubali na kila kitu kiko sawa!! u need to format though! ila sijui kama inawezekana from bit 32 to bit 64 nadhan wataalam wanawezq tujuza zaidi
mkuu shukrani kwa kunitia moyo ila pc yangu inasoma hiv
CPU make /modal ni Intel (R) 4 CPU 2.60GHz
NA INFO NYINGINE NI
CPU speed And Installed Memory. 2.59GHz,248 MB of RAM
naombeni mnijuze kuwa hii itakuwa ina run bit ngapi na iko slow sana hivi chanzo ni nina japokuwa ni HP.
unaweza kuweka windows 64bit, sio swala la processor wala nini bali utahitaji ram kuanzia 4gb. swala hapa halipo kwenye processor,
Nilichomaanisha 64 inaweza run hata os ya 32 bits na 64 bits lakini 32 bits ina run os ya 32bits tu haiwezi run64 bitsmkuu kwani 32 haiwez ku run 2 windows
mkuu shukrani kwa kunitia moyo ila pc yangu inasoma hiv
CPU make /modal ni Intel (R) 4 CPU 2.60GHz
NA INFO NYINGINE NI
CPU speed And Installed Memory. 2.59GHz,248 MB of RAM
naombeni mnijuze kuwa hii itakuwa ina run bit ngapi na iko slow sana hivi chanzo ni nina japokuwa ni HP.
Hiyo ni processor architecture sio ram mkuu.Uwiiiii ngoja nika purchase new Ram kumbe mambo mukideeee
kama computer yako ni 32bit huwezi kuweka 64bit hata uwe na ram gb100 ila mwenye 64bit anaweza kuweka cha 32bit hata akiwa na ram chini ya gb 4
kama computer yako ni 32bit huwezi kuweka 64bit hata uwe na ram gb100 ila mwenye 64bit anaweza kuweka cha 32bit hata akiwa na ram chini ya gb 4
Watu wengi hatuji 64 na 32 bit ipo kwny nini ? Kaa mjue zote zpo upande wa pc na OS huska. Pc ikiwa manufactured for 32 bit haiwez kubal OS yoyote yny 64Bit ila yny 64bit itakubali Os yyt ya 32 au 64.
Swala la 64 bits ni uwezo wa processor kusupport.... Kuna computer ambazo unaweza kuweka 64bits na 32 bits... Na nyingine unaweka 32bits tu.... Swala la 64 bits ndo technology ya sasa .. Ni sawa na wanavyojitoa ipv4 na kwenda IpV6..... Itafika wakati computer za 32 bits wataacha kutengeneza.... Kama ilivyo kwa window servers kwa sasa..... Ila nashindwa kuelewa kwa nn unataka 64 bits wakati 32bits ndo nzuri maana application zake zinapatikana kirahisi kuliko 64 ambayo applications zake huwa ni ngumu kuzipata.....
Swala la 64 bits ni uwezo wa processor kusupport.... Kuna computer ambazo unaweza kuweka 64bits na 32 bits... Na nyingine unaweka 32bits tu.... Swala la 64 bits ndo technology ya sasa .. Ni sawa na wanavyojitoa ipv4 na kwenda IpV6..... Itafika wakati computer za 32 bits wataacha kutengeneza.... Kama ilivyo kwa window servers kwa sasa..... Ila nashindwa kuelewa kwa nn unataka 64 bits wakati 32bits ndo nzuri maana application zake zinapatikana kirahisi kuliko 64 ambayo applications zake huwa ni ngumu kuzipata.....