Nguva Jike
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 853
- 1,005
Habari wana Jf.
Nimepewa taarifa na mzee Fulani aliyekuwa rafiki yangu sana zihusuzo upatikanaji wa madini katika eneo Fulani.
Nilithibitisha taarifa zake.Tatizo sijui nianzie wapi.Je nitafaidika na Kwa nani?
Nimepewa taarifa na mzee Fulani aliyekuwa rafiki yangu sana zihusuzo upatikanaji wa madini katika eneo Fulani.
Nilithibitisha taarifa zake.Tatizo sijui nianzie wapi.Je nitafaidika na Kwa nani?