Naam naona sasa niagane na TZ 11, Mungu akijaalia mwezi ujao nami natarajia kununua gari ili nami nianze kutembelea makalio.
Ila sasa natamani sana nikipata hilo gari nilipe usajili wa T...CDM, sasa sijui hili jambo litawezekana?
Naam naona sasa niagane na TZ 11, Mungu akijaalia mwezi ujao nami natarajia kununua gari ili nami nianze kutembelea makalio.
Ila sasa natamani sana nikipata hilo gari nilipe usajili wa T...CDM, sasa sijui hili jambo litawezekana?
Mimi nasubir T....FUK, au T...FUC
Baadae sana hesabu kuanzia A hadi sasa C ni miaka mingapi kama 7 hivi ongeza Miaka 8 kwa mpaka 2020 mkuu baadae sana!
jitahidi sana kufanya timing, sana sana wasiliana na mawakala wa mizigo ili upate T... CDM lakini usipoangalia itakula kwako, utaibuka na T... CCM