thanks, nimeshabadilishia Bureau de change....ingawa nimepata hasara kama ya laki 2 na kidogo. Unajua pesa zingine Tz hazina soko, so unazibadili kwa rate ya chini mno tofauti na thamani halisi ya pesa hizo.Nenda bureau de change achana na bank huwa wana rate za chini mfano $ kwa bank ni 2060 wakati bureau ni 2273
Cku hizi hakuna habari hizo za kiwango cha juu sana cha pesa...hiyo awamu ilishafungwa kwa mbwembwe zote. Hii ni awamu ya HAPA KAZI TU, hakuna mambo ya kuishi kama maRaika.Nenda kwenye bank kuchange, lakini kama kiwango ni kikubwa sana. Nenda na documents zinazoonyesha mchakato mzima uliopitia kuzipata hizo pesa.
Ipo mkuu ni juzi tu nilikuwa na meneja mmoja wa bank moja hapa jijini akanithibitishia haya niliyoandika.Cku hizi hakuna habari hizo za kiwango cha juu sana cha pesa...hiyo awamu ilishafungwa kwa mbwembwe zote. Hii ni awamu ya HAPA KAZI TU, hakuna mambo ya kuishi kama maRaika.