Naweza kupataje Medical Recommendation report ya Baba?

Naweza kupataje Medical Recommendation report ya Baba?

Mgonjwa yupo nyumbani anatibiwa kienyeji halafu unataka morden medical report? Kweli? Naomba mpeleke mgonjwa hospital hapo utapata medical report bila hata usumbufu wowowte
 
Nenda katika hospitali aliyokuwa anatibiwa mara ya mwisho ukaonane na daktari ili akuandikie na kukugongea muhuri
 
Mgonjwa wa stroke matibabu yake makubw n zoez sasa pesa kipato kimeniishia ikabd niombe hawa mobile therapy waje kufanyia zoez om tuu maan gharam za kutoa na gar ya kukod na kurud n bora afatwe, na si kama hiyo kienyeji unayomaansh wew
Mgonjwa yupo nyumbani anatibiwa kienyeji halafu unataka morden medical report? Kweli? Naomba mpeleke mgonjwa hospital hapo utapata medical report bila hata usumbufu wowowte
 
Alpo tibiwa awal n moshi sasa tupo nae dar na kule wanazngua tuu.
Nenda katika hospitali aliyokuwa anatibiwa mara ya mwisho ukaonane na daktari ili akuandikie na kukugongea muhuri
 
Pole sana.
Kabla hujapata Medical Report
Je una Amin tiba asili nikupe hapa Mzee wako apone kabisa.?
 
It sound serious.
Lakini hiyo medical report ya connection inaweza kuwa na impact.
Impact kubwa zaidi unakuja afisa mwajiri wako na yeye kasoma uzi wako.
 
Bila shaka , si mitishamba na daw za kuchua za kinyeji

Sio uchawi lkn
Pole sana.
Kabla hujapata Medical Report
Je una Amin tiba asili nikupe hapa Mzee wako apone kabisa.?
 
Akibisha na mpa video aone hali ya mzee

Au naend naend kzn tuu amuone kama atakaa atakuw sio binadamu yeye
It sound serious.
Lakini hiyo medical report ya connection inaweza kuwa na impact.
Impact kubwa zaidi unakuja afisa mwajiri wako na yeye kasoma uzi wako.
 
Back
Top Bottom