onjwayo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 1,346
- 1,303
Niko Rorya na shida kubwa huku Ni mabadilko ya Hali ya hewa. Huku tumezoea kilimo Cha kutegemea mvua. Nyenzo pekee tunayotegemea Ni kutumia ng'ombe ambao kwa nyakati za kiangazi wanaathiriwa na ukame.
Kama ni shida ni zaidi ya janga. Kwa kifupi ni hiviii, mvua zikipungua ardhi ni ngumu kweli kwa ng'ombe kuvuta plau na mvua zikinyesha ardhi Ni nzito mno.
Yeyote mwenye dokezo namna gani naweza kufanya nikapata trekta kwa mikopo namkaribisha inbox. Mie Ni mkulima wa kawaida tu Ila naweza kupanuka Kama nikipata nyenzo.
Kama ni shida ni zaidi ya janga. Kwa kifupi ni hiviii, mvua zikipungua ardhi ni ngumu kweli kwa ng'ombe kuvuta plau na mvua zikinyesha ardhi Ni nzito mno.
Yeyote mwenye dokezo namna gani naweza kufanya nikapata trekta kwa mikopo namkaribisha inbox. Mie Ni mkulima wa kawaida tu Ila naweza kupanuka Kama nikipata nyenzo.