Naweza kupata wapi drone nzuri?

Naweza kupata wapi drone nzuri?

The Certified

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2016
Posts
910
Reaction score
774
Jamani wanateknolojia habari za Asubuhi naomba kujua naweza pata Wapi Drone nzuri waterploof na ikae na chaji atleast masaa 3 na iwe na HD haswa kupiga picha za Usiku.......
 
Jamani wanateknolojia habari za Asubuhi naomba kujua naweza pata Wapi Drone nzuri waterploof na ikae na chaji atleast masaa 3 na iwe na HD haswa kupiga picha za Usiku.......
Gadgetronix ltd. Google utawapata aidha dar au Arusha
 
na bila kusahau jua soma manual vizuri kabla ya kuirusha drone yako.....kuna jamaa yangu aliagiza drone ikapasuka siku hiyo hiyo mana hata hakusoma manual
asante kwa ushauri mkuu asante sana na labda una hisi kwa nn ilipasuka?
 
Kuna jamaa yangu alinunua moja so cheap toka ile app ya wachina ya manunuzi 84,000 tu.
aliitumia week mbili siku moja ilipopaa hakuiona tena ilikata mawasiliano nikajua ching chu keshafanya yake fake fake
 
Kuna jamaa yangu alinunua moja so cheap toka ile app ya wachina ya manunuzi 84,000 tu.
aliitumia week mbili siku moja ilipopaa hakuiona tena ilikata mawasiliano nikajua ching chu keshafanya yake fake fake
hahahahaha hahahahaha hahahahaha hata mimi ishanitokea nilikodi ikapotea nilitafta nikaikuta juu ya hotel moja ya huku mwanza ila haikuwa na hali nzuri
 
hahahahaha hahahahaha hahahahaha hata mimi ishanitokea nilikodi ikapotea nilitafta nikaikuta juu ya hotel moja ya huku mwanza ila haikuwa na hali nzuri
Khaa mzee ulitafuta mpaka juu ya hotel
 
Khaa mzee ulitafuta mpaka juu ya hotel
Nilianza kupreview video iliyo record maeneo ilipokatia netwk napajua ikabidi nipande mzee yani ilikuwa nyang'a nyang'a hahahahaha hela ya watu lazima nitafte hata kambi ya jeshi mkuu
 
Elviejo naomba namba ya hilo Duka na mm nahitaji! Ahsante
 
Back
Top Bottom