Naweza kuongeza ukubwa wa uume?

Naweza kuongeza ukubwa wa uume?

Urefu 5.5 inches mzunguko 4.5inches.

Naombeni njia ya kuongeza plz ambayo haina madhara na inamabadiliko chanya.
Natanguliza shukran zangu
mdalasini changanya na asali, tafuna punje 6 za vitunguu swaumu usiku na mchana ule ndizi mbivu kama 4 hivi mchana na jioni chukua kitambaa cha cotton, weka maji ya moto isiwe sana iwe kiasi ...loweka kitambaa vuta uume kwa mbele fanaya zoezi hilo na badae weka mdalasini na sali kwenye maji ya chai au ya moto unywe kikombe kimoja kadri itakavyokuwa inasimama itahitaji kukua kwa haraka sana>>>
 
mdalasini changanya na asali, tafuna punje 6 za vitunguu swaumu usiku na mchana ule ndizi mbivu kama 4 hivi mchana na jioni chukua kitambaa cha cotton, weka maji ya moto isiwe sana iwe kiasi ...loweka kitambaa vuta uume kwa mbele fanaya zoezi hilo na badae weka mdalasini na sali kwenye maji ya chai au ya moto unywe kikombe kimoja kadri itakavyokuwa inasimama itahitaji kukua kwa haraka sana>>>
Na uume unakua na nguvu kama mwanzoni au unakua legelege?
 
Hali tuliyofikia sasa ni mbaya. Confidence ya vijana imetoweka kabisa, mbona mie muhanga Nina 3 inch l napiga show za kibabe na wanaigombania wahanga kwa vijana, Kama ulimbo akiingia hatoki. Vijana mjiamini tu ukubwa sio tija ni kuumizana tu, sex is an art mjifunze kwetu wahanga.
 
Jikubali. Ridhika hivyo ulivyoumbwa. Mshukuru MUNGU kwa kila jambo. Na kama kuna lady kaongea vibaya kuhusu maumbile yako, jua hakupendi. Jiamini haszu
 
Mkuu muda wa kupima umeupata wapi.. Yournso disperate
 
sema unataka ukubwa wa chances za kujiharibu kabisa...yani unataka kujiua tu
 
Urefu 5.5 inches mzunguko 4.5inches.

Naombeni njia ya kuongeza plz ambayo haina madhara na inamabadiliko chanya.
Natanguliza shukran zangu
Mzunguko unamaanisha Upana?.. Ndio 4.5 inches? Unataka uume au Tofali?
 
Jiamini ndg achana na dhana ya kutaka kutumia kitu ili ujiongezee. MUNGU alivyokuumba anakusudio lake kwako.
 
Ridhika na ulichonacho mkuu mambo mengine ni kujitafutia matatizo tu.
 
Back
Top Bottom