Naweza kuongeza ukubwa wa uume?

Naweza kuongeza ukubwa wa uume?

We kaka mbona hiyo ni kubwa sana ni kwamba unataka sasa uwe na mguu wa punda ili utoe vizazi vya watoto wa watu

Halafu ebu weka picha kwanza tuone
 
Urefu 5.5 inches mzunguko 4.5inches.

Naombeni njia ya kuongeza plz ambayo haina madhara na inamabadiliko chanya.
Natanguliza shukran zangu




Acha kuamini uongo soma hapa

Watalamu wa mambo wanasema, ukubwa ume unaolingana na kidole chako kidogo cha mwisho kinaweza kufurahisha mwanamke na kuweza kumfikisha kileleni
Watalamu wanadai kwamba umbali uliopo sehemu ya mwanamke yenye msisimko ni urefu wa inch 2 hadi 3
Na wastani wa maumbile ya kiume ni inch 4.7 hadi inch 6.9
Hii hutofautiana kulingana na jamii,
Watalamu wanasema kuwa watu wa bara la Asia wanamaumbile madogo tofauti na watu kutoka bara la Africa
 
We kaka mbona hiyo ni kubwa sana ni kwamba unataka sasa uwe na mguu wa punda ili utoe vizazi vya watoto wa watu

Halafu ebu weka picha kwanza tuone
Katibu wa weka picha
 
Jaman hiyo mikuyenge mnaitakia nin et, hawa dada zetu ndio maaana wakikojoa sikuhiz hata kishimo hakitokei alipokojoa kama zaman maaana Elastic material kwenye papuchi zilishafumuka na Mikuyenge ya Kichina, mara Vumbi la Mkongo.
 
Urefu 5.5 inches mzunguko 4.5inches.

Naombeni njia ya kuongeza plz ambayo haina madhara na inamabadiliko chanya.
Natanguliza shukran zangu
Una miaka mingapi? kuna mtu amekuambia labda humridhishi? unahisi ukubwa wa pua ndio wingi wa kamasi?
unaweza ukawa na size kubwa ikafika magotini ila kama shughuli yake hujulii ni bure tuu.
 
Kama haiwezekan bas nashukuru pia , ni ushauri tu ndugu zangu.

Picha siwez weka. Umri wangu ni mtu mzima
 
Urefu 5.5 inches mzunguko 4.5inches.

Naombeni njia ya kuongeza plz ambayo haina madhara na inamabadiliko chanya.
Natanguliza shukran zangu
Kwanza hapo kwenye mzunguko naona umechemka aiseeee...... hakunaga uume wenye 4.5 inches diameter
 
Kwanza hapo kwenye mzunguko naona umechemka aiseeee...... hakunaga uume wenye 4.5 inches diameter
Comrade ungekuwa hawa vijana wa siku hizi ningesema unaongea kwa uzoefu
 
Nakushauri uchukue sabuni ya unga alafu upigie nyeto, then ukimaliza mwagia maji ya battery kwenye ukuni.
Yaani kitu lazima ikuwe kubwa, wala hautojuta....
 
Kwanza hapo kwenye mzunguko naona umechemka aiseeee...... hakunaga uume wenye 4.5 inches diameter
nikikunja kidole cha shahada kuunganisha kinagusa sehem ya kati kati ya nusu ya juu ya kidole gumba
 
Urefu 5.5 inches mzunguko 4.5inches.

Naombeni njia ya kuongeza plz ambayo haina madhara na inamabadiliko chanya.
Natanguliza shukran zangu
Dah nakusikitikia kichwa yako imejaa unzinz,,mkuu uume standard ni nchi 5-6 wewe una 5.5 unaona ndogo je,waliopungikiwa wasemaje?..
 
Back
Top Bottom