Thubutu!!! Wengi ni mashangingi yaliyofukuzwa hadi kwa wazazi wao na yanaishi gheto.
kwenye mitandadao huwezi kupata mke maana wameshatumika sana pia huko mtaani hawana soko,, mie nilipata kama sita hiv ila baada ya kuwafatilia huko nyuma kumbe walikuwaga makahaba sasa wamechoka wanataka ndoa,,, tena watatu wakawa wanataka mimba tu niwape basi na siyovkuolewa,, Tafuta mtaani kwako huko huko ila kwnye mitandao hamna kuna screpa tu