Msudu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2021
- 942
- 1,401
Hahahahahahaahah bongo kila mtu ni kochaUtakuta huyu mkosoaji hata kupiga danadana hawezi.
Hahahahahahaahah bongo kila mtu ni kochaUtakuta huyu mkosoaji hata kupiga danadana hawezi.
Nungunungu kazi yake ni kurudisha mpira nyuma au kupiga pasi za juu ambazo hazina madhara, muda wake umeisha, Simba ina kazi kubwa ya kusafisha hawa wazee, waende kula pension sehemu nyingine.Jibu ni hakuna mchezaji namba sita anayemshinda Nungunungu. Huyo Lwanga ni mirafu tu muda wote.
Hata akiwa azam alisaidiwa na chama?Hizo records ilibebeshwa na kina Chama. Afunge magoli 16 msimu huu tuone.
Bocco ni forward mnyamaa .. sema katoka tu kwenye majeruhii .Hata akiwa azam alisaidiwa na chama?
Bocco ana rekodi ambayo kwa wazawa ni ngumu kuivunja!Bocco ni forward mnyamaa .. sema katoka tu kwenye majeruhii .
Utakuta huyu mkosoaji hata kupiga danadana hawezi.
Duh!!!Nungunungu kazi yake ni kurudisha mpira nyuma au kupiga pasi za juu ambazo hazina madhara, muda wake umeisha, Simba ina kazi kubwa ya kusafisha hawa wazee, waende kula pension sehemu nyingine.
Yaani hakuna mtu aliyeinyima simba ushindi mwingi kama Mugalu,halafu akawa kipenzi cha Pablo,Pablo ,Motorola na benchi love la ufundi wapishe,scouting team yote ifumuliweSimba hakuna strikers, wote walikuwa wanabebwa na ubora wa Chama, mwamba wa Lusaka aliisadia Simba kutengeneza nafasi nyingi sana hata angekuwa Sarpong angewika, tulilalamika wakati wa dirisha la usajili walete striker wa ukweli tukaonekani ni haters, acha tufunzwe tu kwa sasa.
Wengine watakuja kusema Mugalu ana ahueni, Mugalu alikuwa anakosa magoli mengi ya wazi tena katika mechi kubwa za CAF, kuna tatizo la usajili Simba.