Nawaza nimfanye nini alienitapeli pesa zangu

Nawaza nimfanye nini alienitapeli pesa zangu

Dah pole sana ila umefika mbali sana kuuwa ujue inawezekana kabisa anafanya hivyo sababu ya maisha yalivyo magumu
Sasa maisha magumu ndio ukane mkuu?

Bora aseme hali ni mbaya kuliko na kumkana jamaa wazi wazi
 
Mimi nina watu kama wanne nina wadai yani binadamu sio wazuri kabisa
Wakawanza nina mdai milioni moja mpaka sasa ni story almost a year,wapili laki mbili ni zaidi ya miez minne,wawili mmoja laki moja na themanini mwingine laki moja wote walivyo hata mpango wa kunilipa sioni yaani roho inauma,kipindi wanavyokuja hadi huruma yaani
 
Me pia kuna mama aliniomba nimkopeshe 100000, lakin kila siku ananipiga tarehe mpaka nimeamua kupotezea.

Ila ana binti mzuri sana, nimepanga siku moja nimle kimasihara, nadhani ndio itakuwa Revenge yangu.
Tatizo na binti nae utahonga, sasa deni halitalipizwa.
 
Jf ina watu masikini sana sasa 250000 ndio ugonvi wa kuleta humu kweli!!!???
ndio maana nafikiria Ku quite Jf kuna watu duni mno hata mawazo yao yatakuwa yamedumaa
Please do not quit bwanaa! Hivi Tz ni nchi ya ngapi kutoka chini kwa kiwango cha umasikini?
 
Aisee jamaa nimemkabidhi kabisa 250000 then anakuja kunikana. I will slaught him
Kama aliweza kukutapeli maana yake aliona anakumudu.. yaan kakushinda akil.. tegemea kutomfanya chochote ndugu.. ishort humuwez huyo mwamba.
 
Ushauri mzuri sana. Naomba wewe unilipe hiyo pesa badala yake. Kam ni jambo rahisi kusamehe 350k. Roho yangu inakataa hiyo hela lazima ailipie hata kwa damu
Mimi ninakuonea huruma, unaweza ukaikosa hiyo pesa, na ukaozea jela. Usimpe shetani nafasi.


Jesus is Lord
 
Maisha bado ni safari ndefu sana. Usichukue uamuzi kwa haraka, utaishia kufanya kitu ambacho utaishi utajuta. Tulia tu mungu atatenda
 
Aisee jamaa nimemkabidhi kabisa 250000 then anakuja kunikana. I will slaught him
Nikwambie kitu?
Dhamira ya kuishi na dhamira ya kukatisha maisha yako ama ya mtu mwingine, ipo mikononi mwako.

Inapotokea unapata hamu ya kudhuru nafsi (lust to kill) yako ama ya mtu mwingine, zingatia vigezo vya usalama na usiri, unavyopanga kwa ajili ya kutekeleza usitamke kwa yeyote dhamira yako hiyo kama ulivyofanya hapa Jf.

Kwa sababu utakapoanza utekelezaji wa kuua au kujiua hutokea zoezi hilo saazingine kubumburuka na kujikuta mikononi mwa vyombo vya sheria.

Ikitokea hivyo, hautakuwa na fursa tena ya kurudia zoezi hilo kwa jinsi utakapokuwa umedhibitiwa.

Maana yangu ni nini?

Hautakiwi kuzungumza jambo la dhamira yako ya mauaji hadharani.

Wengi wameangukia kwenye vifungo au misoto ya rumande kutokana na kutokuwa wasiri na mipango yao ya namna hiyo.
 
Jf ina watu masikini sana sasa 250000 ndio ugonvi wa kuleta humu kweli!!!???
ndio maana nafikiria Ku quite Jf kuna watu duni mno hata mawazo yao yatakuwa yamedumaa
Mimi nataka nijitoe JF sababu ya wasomi wasiojua kiingereza,mtu anasema Quite akimaanisha Quit.

Au Nasema uongo ndg zanguuuuuuuuuuuuu?
 
Back
Top Bottom