Nawauliza mlioko katika mahusiano serious ones...

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Jun 23, 2012
12,321
11,315
Nawauliza mlioko katika serious relationships, akina dada naanza nao,, je inaweza kupita saa, siku, wiki bila kumtumia mwenza wako labda msg ama hata kumpigia tu simu kumwambia how you feel about him,and all that sweet love words and lovely talks and conversesion over the phone, malengo yenu, kuoana or maybe kuanzisha familia, and unafikiri majibu ama response anayokupa unaridhika?? Mfano majibu ya "nashukuru dear", "haya asante dear", na majib mengine ambayo ni ya "short and simple" je hua ni sahihi?? Na pia the same question nawauliza wanaume wenzang kua ni sawa?? Karibun.
 
Kupigiana simu na kutumiana ujumbe wenye maneno mazuri ni jambo jema katika mahusiano. Majibu yanaweza kuwa mafupi au marefu. Binafsi, yote hayo si muhimu sana kwangu sababu si vipimo sahihi vya upendo na uaminifu wa mwenza wako. The most important thing is how she/he behaves your absence.
 
Nawauliza mlioko katika serious relationships, akina dada naanza nao,, je inaweza kupita saa, siku, wiki bila kumtumia mwenza wako labda msg ama hata kumpigia tu simu kumwambia how you feel about him,and all that sweet love words and lovely talks and conversesion over the phone, malengo yenu, kuoana or maybe kuanzisha familia, and unafikiri majibu ama response anayokupa unaridhika?? Mfano majibu ya "nashukuru dear", "haya asante dear", na majib mengine ambayo ni ya "short and simple" je hua ni sahihi?? Na pia the same question nawauliza wanaume wenzang kua ni sawa?? Karibun.
Inategemea nani yupo serious.... Unaweza kuwa wewe ndio mtumwa daily kupiga wewe... Yeye anajibu tu....
 
Kupigiana simu na kutumiana ujumbe wenye maneno mazuri ni jambo jema katika mahusiano. Majibu yanaweza kuwa mafupi au marefu. Binafsi, yote hayo si muhimu sana kwangu sababu si vipimo sahihi vya upendo na uaminifu wa mwenza wako. The most important thing is how she/he behaves your absence.
Mkuu sijakupata mstari wa mwisho hapo, how he/she behaves ukiwa haupo ama ukiwepo
 
Kupigiana simu na kutumiana ujumbe wenye maneno mazuri ni jambo jema katika mahusiano. Majibu yanaweza kuwa mafupi au marefu. Binafsi, yote hayo si muhimu sana kwangu sababu si vipimo sahihi vya upendo na uaminifu wa mwenza wako. The most important thing is how she/he behaves your absence.
Unajua mkuu mawasiliano pia yana determine kama mtu yuko na wewe serious ama la
 
Mimi katika uzoefu wangu too much communication unaweza wapelekea mkakorofishana bila sababu. Unampigia huna jambo lolote la msingi kila baada ya masaaa kadhaa vyakuongea vianaisha mnaanza ulizana uko wapi? Unafanya nini? Na nani? Kwa nini had kuniambia kuwa utakuwa huko uliko sasa? Nk. Wasiliana na mwenzio mida muafaka siyo every time
 
Uyo hakupendi mkuu kuna ambae yupo busy nae kwenye mawasiliano ipite week au siku mbili tatu hapana kwakweli labda iyo sehem netw hamna
 
Kuna watu ni wazito nakuambia... Unajua kabisa anakupenda na hachovyichovyi nje.... Lakini bwana bwana utatuma sms asubuhi itajibiwa jioni.... Utapiga simu majibu sawa, sawa, entree, haina shida, sawa tutaonana.... Hawana hizo mababybaby
Uyo hakupendi mkuu kuna ambae yupo busy nae kwenye mawasiliano ipite week au siku mbili tatu hapana kwakweli labda iyo sehem netw hamna
 
Ndugu ukiwa na coined ukaziba Mkia ina maana Kichwa kipo juu, na kinyume chake ndo ukweli huo. Kwa mfano huo nadhani nitakuwa nimekupa uelekeo
 
Saa kupita bila kuwasiliana ni kawaida sana, hasa kwa wafanyakazi.
 
I had someone, tunaweza maliza wiki had mwez bila mawasiliano, na siku akipiga cm tunaongea sana hadi naboreka natamani akate cm though tunapendana.
Wapo wanaopenda communication ya kila wakati mwingine hataki.
 
Back
Top Bottom