frontpage
Member
- Feb 26, 2017
- 71
- 113
Nitoe tu mfano,Mwanamke gani kafanikiwa bila mkono wa mwanaume?Mimi ndio siwasikilizagi kabisa.wale wanawezeshwa.baada ya hapo wanavua pichu
Kuna mwanamke mmoja alikuwa ana pika chakula kama mama lishe, kila mteja aliyekuwa anaenda kula pale aliitwa shemeji na wahudumu wake, halafu ikitolewa elfu kumi change hairudi, kitumbua kinagawanywa kwa shift, siku mtu kama huyu atadanganya wenzake siku moja kwamba ni malkia wa nguvu. Hatari sana. Hii ni sawa na zile hadithi za kusema watu waliuza karanga mara kushona viatu kumbe kuna pazia lililoficha mengi.