Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Kwaniaba ya wapenzi na washabiki wte wenye mapenzi mema ya timu yetu ya yanga
napenda kuwatakia mkutano mwema wa uchaguzi wenu wa viongozi natamani ningekuwa dar ila mungu alipenda zaidi niwe huku....amani na upendo vitawale mkutanoni....
Mshabiki wa yanga
napenda kuwatakia mkutano mwema wa uchaguzi wenu wa viongozi natamani ningekuwa dar ila mungu alipenda zaidi niwe huku....amani na upendo vitawale mkutanoni....
Mshabiki wa yanga