Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,202
- 1,464
Ashrafu Jowayr,au Anchu jina la utani huyu bwana nilisoma nae primary nzega tukaachana tukiwa drs la 4 akaelekea Arusha,mwaka 1994
Mwingine ni,
Rozi mallya,au.rozina petro, huyu bint pia nimesoma nae primary alikuwa.swahiba wangu sana,tuliachana miaka mingi alipohama na family yake walihamia moshi,kama sikosei ni kilua vujo,au kilwa vinje kama sijakosea majina,please mtu mwenye kuwafaham hawa watu anisaidie nimewamiss sana,
Mwingine ni,
Rozi mallya,au.rozina petro, huyu bint pia nimesoma nae primary alikuwa.swahiba wangu sana,tuliachana miaka mingi alipohama na family yake walihamia moshi,kama sikosei ni kilua vujo,au kilwa vinje kama sijakosea majina,please mtu mwenye kuwafaham hawa watu anisaidie nimewamiss sana,