Hapo ndio maisha yanapozidi kua magumu, hawa wenye makampuni yao kitu wanachotaka ni uzoefu, kwani mtu anazaliwa na uzoefu? Mtu amemaliza kusoma leo uzoefu atautoa wapi? Kuna wengi ni wafanyakazi wazuri wanakosa kuajiriwa, labda serikali iangalie kuondoa hili.