Kuna michango ya Wana ndugu nilikua naichangisha,huu mwezi wa 6 tarehe 30 inabidi niikabidhi,aisee bby wangu si akafiwa na mama ake na inabidi watoe michango akawa na akiba kidogo Sana ikabidi mimi nichukue michango ya ndugu nimpe Ili afanikishe zoezi la kuzika,hapa nasubiri mshahara nilipe kabla ya tarehe therasini dah nilishukuru Sana Mungu Kwa Ili mana na mimi sikua na akiba yeyote zaidi ya miamala ya ndugu na sitaki wajue chochote kuhusu michango yao kama nimetoa msibani,kikubwa ku replace kuwapa pesa zao