Endelea kusubiri hizo taasisi za kimataifa tu mkuu, lkn mwisho wa siku utaishia kulia lia tu...Mbowe anawaharibiaHuu tunacheza nao kwa kuwa tasisi za kimataifa hazipo ila uchaguzi mku sio kama unavyofikiria mku dunia ina mulika tena inawezekana ndo utatuletea mstakabali wa nchi. Na chadema sio wepesi kama unavyofikiria kumbuka dola imefanya kazi kubwa sana kwa maslahi ya muda mfupi.
Sasa mwanachadema kujiunga na ss inawezekana tukampokea na Itikadi yake akabaki nayo hii itakuwa faida kwa nani zaidi wenye itikadi inayofanana naye
Changia basi na hapa tukuoneMkuu mbona wapinzani tupo sana na wala hakuna lililotutisha kuhusu uchaguzi wa jana. Shida mnakimbia kwenye nyuzi tunazonyoosha maelezo mnakuja kuanzisha uzi mwingine mnachangia wenyewe tukitia timu mnatokomea. Uchaguzi wa jana ulikuwa na matokeo ya kumfurahisha rais hakuna zaidi ya hilo.
Na lowassa akirudi na kundi lake, hawana ubavu tena wa kumuita fisadi maana wameshamsafisha wao wenyewe.Bora mfanye hivyo vinginevyo nawahakikishia mtashindwa kila uchaguzi.....
Uchaguzi wa 2020 msitegemee kupata wabunge zaidi ya saba serious nawaambia...keep my words.
Sababu kubwa ni kwamba mlikosea sana mlipokubali kubadilishana Slaa kwa Lowasa.
CCM wajanja walipoona Lowasa hasafishiki wakawabadilishia nanyi mkakubali kumuacha Slaa aende.
Na Lowasa wakati wowote anarudi CCM, jiongezeni kumbukeni ya Mrema.
Huo ndiyo ukweli mchungu hata kama hamtaki!
Tulianza na Mungu na tunamaliza na Mungu.Nonsense. Hivi nyie mnadhani huyo Mungu ni wa kwenu tu? Ukitaka kumjua Mungu jinsi alivyo kwamba ni wa wote nenda kamuulize Farao siku ni kutaka huko mbinguni. Pharaoh has a very interesting tale to tell you
Hata 2015 mlisema hivi hivi,Bora mfanye hivyo vinginevyo nawahakikishia mtashindwa kila uchaguzi.....
Uchaguzi wa 2020 msitegemee kupata wabunge zaidi ya saba serious nawaambia...keep my words.
Sababu kubwa ni kwamba mlikosea sana mlipokubali kubadilishana Slaa kwa Lowasa.
CCM wajanja walipoona Lowasa hasafishiki wakawabadilishia nanyi mkakubali kumuacha Slaa aende.
Na Lowasa wakati wowote anarudi CCM, jiongezeni kumbukeni ya Mrema.
Huo ndiyo ukweli mchungu hata kama hamtaki!
Changia basi na hapa tukuone
Wewe ni kiazi kabisa. Kwani na chenge yuko huko unakosema yaani Mungu atusamehe kwa akili hizi za kitanzania tutangoja sana hayo maendeleo na watu watakuwa wanafanya vitu bila sisis wananchi kuhoji. Hivi kuna mtu mwenye milki na Tanzania au ni sisi wananchi wanavyokuja kuomba kura wapole sasa wamegeuka kuwa vichaa kabisa.Bora mfanye hivyo vinginevyo nawahakikishia mtashindwa kila uchaguzi.....
Uchaguzi wa 2020 msitegemee kupata wabunge zaidi ya saba serious nawaambia...keep my words.
Sababu kubwa ni kwamba mlikosea sana mlipokubali kubadilishana Slaa kwa Lowasa.
CCM wajanja walipoona Lowasa hasafishiki wakawabadilishia nanyi mkakubali kumuacha Slaa aende.
Na Lowasa wakati wowote anarudi CCM, jiongezeni kumbukeni ya Mrema.
Huo ndiyo ukweli mchungu hata kama hamtaki!
Mbowe hawezi kuwaharibia kumbuka huyu tunayesema anawaharibia ndiye mwenyekiti pekee anayeonekana ana mikakati ya kisiasa ukitaka kulijua hilo kama unafuatilia Siasa za hapa Tanzania. Hivi ktk vyama vyote vya Siasa ulishawahi kumwona mwana chadema hata asiye na chama lakini anasimamia Itikadi yenye kutoa elimu ya uraia yaani tuseme Mbowe amefanya Tanzania wengi kujua somo la uraia kila mtu ni mbobezi wa mambo. Kwani ni hoja ngapi ngumu nakutana nazo mtaani una kuta mwenye hoja ni mtu asiye na chama kabisa lakini ana hoja ambazo kulijibu ngumu. Hiyo yote ni chadema kimewapa Watanzani udhubutu na kwa njia hiyo uwezi kumwambia Mwanachadema na au siyemwanachama lakini anaishi misimamo yao alafu umwambie Mbowe hafai wakati majibu ya kukujibu ya kukupa juu ya yy kuwepo anao .Mwisho tunaonekana hatuna hoja ni pale anakujibu hivi Mbowe akiwa dhaifu ni faida ya chama gani ni jepesi na kama jibu ndio hilo mwisho tunaonekana hoja zetu ni hoja mfuEndelea kusubiri hizo taasisi za kimataifa tu mkuu, lkn mwisho wa siku utaishia kulia lia tu...Mbowe anawaharibia
Kama mm ni kiazi wewe utakuwa ni muhogo wenzio wanakupasua katkatiWewe ni kiazi kabisa. Kwani na chenge yuko huko unakosema yaani Mungu atusamehe kwa akili hizi za kitanzania tutangoja sana hayo maendeleo na watu watakuwa wanafanya vitu bila sisis wananchi kuhoji. Hivi kuna mtu mwenye milki na Tanzania au ni sisi wananchi wanavyokuja kuomba kura wapole sasa wamegeuka kuwa vichaa kabisa.
Mbowe hajawahi kuijenga CHADEMA.............CHADEMA imejengwa na dr. slaa alipokuwa mbunge na katibu mkuu wa CHADEMA..........Mbowe hawezi kuwaharibia kumbuka huyu tunayesema anawaharibia ndiye mwenyekiti pekee anayeonekana ana mikakati ya kisiasa ukitaka kulijua hilo kama unafuatilia Siasa za hapa Tanzania. Hivi ktk vyama vyote vya Siasa ulishawahi kumwona mwana chadema hata asiye na chama lakini anasimamia Itikadi yenye kutoa elimu ya uraia yaani tuseme Mbowe amefanya Tanzania wengi kujua somo la uraia kila mtu ni mbobezi wa mambo. Kwani ni hoja ngapi ngumu nakutana nazo mtaani una kuta mwenye hoja ni mtu asiye na chama kabisa lakini ana hoja ambazo kulijibu ngumu. Hiyo yote ni chadema kimewapa Watanzani udhubutu na kwa njia hiyo uwezi kumwambia Mwanachadema na au siyemwanachama lakini anaishi misimamo yao alafu umwambie Mbowe hafai wakati majibu ya kukujibu ya kukupa juu ya yy kuwepo anao .Mwisho tunaonekana hatuna hoja ni pale anakujibu hivi Mbowe akiwa dhaifu ni faida ya chama gani ni jepesi na kama jibu ndio hilo mwisho tunaonekana hoja zetu ni hoja mfu
Aliyemwingiza Dr Chadema ni nani zaidi ya Mbowe mku ktk siasa ww ni mpya kwa hiyo hujui ndo maana unakuja na jibu kama hili .Hivi unajua kisa cha Dr kujiunga na upinzaniMbowe hajawahi kuijenga CHADEMA.............CHADEMA imejengwa na dr. slaa alipokuwa mbunge na katibu mkuu wa CHADEMA..........
aliemuingiza dr chadema sio ishu tunaangalia impact yake kwenye chama....Mbowe huyo huyo ndio aliemuingiza Lowasa ......tunajua dr alijiunga chadema baada ya kudhulumiwa kugombea ubunge karatuAliyemwingiza Dr Chadema ni nani zaidi ya Mbowe mku ktk siasa ww ni mpya kwa hiyo hujui ndo maana unakuja na jibu kama hili .Hivi unajua kisa cha Dr kujiunga na upinzani
hahahhahhahhahahhhhhBora mfanye hivyo vinginevyo nawahakikishia mtashindwa kila uchaguzi.....
Uchaguzi wa 2020 msitegemee kupata wabunge zaidi ya saba serious nawaambia...keep my words.
Sababu kubwa ni kwamba mlikosea sana mlipokubali kubadilishana Slaa kwa Lowasa.
CCM wajanja walipoona Lowasa hasafishiki wakawabadilishia nanyi mkakubali kumuacha Slaa aende.
Na Lowasa wakati wowote anarudi CCM, jiongezeni kumbukeni ya Mrema.
Huo ndiyo ukweli mchungu hata kama hamtaki!