NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,003
Mimi kama shabiki wa simba sports club timu bora Tanzania na ni miongoni mwa timu bora Africa nawapongeza sana watani zetu wa jadi Yanga Sports Club kwa kutwaa ubingwa msimu huu wa 2022.
Ukweli ni kwamba msimu huu yanga mmekua na timu yenye wachezaji waliojitoa kwa jasho na damu kuhakikisha timu inapata matokeo mazuri.
Hongereni sana watani.
Simba the next level.
Simba nguvu moja.
Ukweli ni kwamba msimu huu yanga mmekua na timu yenye wachezaji waliojitoa kwa jasho na damu kuhakikisha timu inapata matokeo mazuri.
Hongereni sana watani.
Simba the next level.
Simba nguvu moja.