Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,754
- 7,536
Ana hofu kwa sababu anajua kwa hakika kuwa hakubaliki. Hakubaliki ndo maana ameshaanza kamoeni za urais kabla kipenga hakijapulizwa.
Kuna sehemu wamesema hii yote inasababishwa na mtu huyo anayemtu musiba kuwa na HOFU ,sasa mfalme Wa chato anakuwa na hofu yanini wakati wananchi wanamkubali