Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 550
- 786
Juzi niliandika hapa kuwatahadharisha Chadema wasikurupuke kwenye Mikutano ya hadhara wazindue kwenye ngazi ya Taifa,Kanda kuamsha ari ya Wananchi kisha ndiyo waende Level ya chini.
Leo nimeona Taarifa kwa Umma maazimio ya Kamati Kuu yamezingatia ushauri nilioutoa hapa.
Bravo Kamati Kuu CHADEMA kwa usikivu.
Leo nimeona Taarifa kwa Umma maazimio ya Kamati Kuu yamezingatia ushauri nilioutoa hapa.
Bravo Kamati Kuu CHADEMA kwa usikivu.