Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,160
Wanajf,nawapenda sana.
Mmekuwa zaidi ya ndugu kwangu!Hata nikiwa na hasira na stress nikiingia humu najisikia faraja sana
Kuwepo nanyi nimepata mafundisho na changamoto nyingi.
Nawashukuruni wote na Mungu awabariki.
Haya, kalale sasa.
Naona funda la ziada litakuumbua...
Umeshatoka Mwanza? Hebu soma ile thread yako "Ndani ya Rock City" kuna ujumbe nimekuachia kule jana.
tunakupenda pia. Mungu aendelee kukubariki na kukuongoza.
Mkuu habari za rocky city hasa mitaa ya pale makoroboi, mitimirefu, igoma, na kwingineko?
ahsante sana wee mtoto mzuri eeh
unapapenda kweli huko eeh mbona unapopata mambo yako nini?
Mkuu habari za rocky city hasa mitaa ya pale makoroboi, mitimirefu, igoma, na kwingineko?
pamoja sana.
Hata na siye twakupenda vipi sato wanapatikana huko au kuna mapanki tu
We binti unatupenda wote hata sisi vibabu vikongwe? Hebu come this way kwa ukaguzi na kugewa dawa ya usingizi....
sio kwamba ni pale mkuyuni nyamagana?
sato wapo na wengine wengine pia,vipi unataka kumletea wifi au?
We binti unatupenda wote hata sisi vibabu vikongwe? Hebu come this way kwa ukaguzi na kugewa dawa ya usingizi....