Nawapenda sana wanawake

Nawapenda sana wanawake

Hili ni jukwaa la mahusiano kama umepotea njia sema uelekezwe
Hata kama mkuu, utapendaje wanawake wote? Hutokuwa binadamu bhasi, wale wa barabarani ndio hawachaguagi, na wewe upo kwenye kundi hilo?
 
Hata kama mkuu, utapendaje wanawake wote? Hutokuwa binadamu bhasi, wale wa barabarani ndio hawachaguagi, na wewe upo kwenye kundi hilo?
M ni binadamu kabisa mkuu" basi tu nawapenda wanawake
Tenaa sanaaaa
 
rudi shuleni kwanza kisha tafuta pesa kama mwendaazimu....baada ya hapo mrudie Mungu...kisha rudi uanze kuwapenda wanawake....wasaidie kwa kadri ya uwezo wako....walelee watoto wao wale walio wajane....kuwa baba kwa masingle mother wote naamini ufalme wa mbinguni utakuwa wako
Shule ninayo tiari mkuu sema tu mambo bado hayajajipa
 
M ni binadamu kabisa mkuu" basi tu nawapenda wanawake
Tenaa sanaaaa
Enzi za mfalme Suleiman hakukuwa na ngwengwe, sasa wewe na azma yako hiyo unaweza hata usifikishe kumi ukaja kukuta umekamatika.
 
Na ukimwi unajua kuwa upo mkuu? Sio useme tu nawapenda wanawake.
Kuwepo ukimwi hakunifanyi nisiwapende wanawake , na ukizingatia hata kama ukimwi usingekuepo nadhani tungekufa tu
Nawapenda sana wanawake
 
Kuwepo ukimwi hakunifanyi nisiwapende wanawake , na ukizingatia hata kama ukimwi usingekuepo nadhani tungekufa tu
Nawapenda sana wanawake
Tafuta mkwanja mkuu, ukiwa na mkwanja utachukua kila aina ya mwanamke, bila mkwanja utabaki kuwaangalia tu kwa macho
 
Unaposema wanawake wa dunia nzima wawe wako unamaanisha hadi huyu mama watoto wangu?...aah tafadhal bwana
 
Back
Top Bottom