Nawaonea wivu wakenya

Nawaonea wivu wakenya

Uzi wa kuwaliwaza wana-CCM huu!Eti..."na sisi tutaanza safari za Asia si muda ..."Hahahahahaaaaaaaa
 
Madeni ya taifa ya Kenya navya kwetu hayajapishana sana. Lakini Kenya kuna flyovers sisi tumepata darasa la Mfugale juzi. STD gauge inakaribia kukamilika. Kenya Airways inatekenya mawinguvya Trump.
Tulikuwa tuna uongozi mbovu sana.
Nadhani Magufuli angechukua baada ya Nyerere tusingekuwa hapa walai.
 
Mtu kama hajieshimu unadhani ataheshimiwa?

Rais ni kiongozi na mwakilishi wa watu.
Unapomdharau unadharau raia.
Nafikiri uone wivu jinsi mpinzani Odinga anavyoheshimiwa na utawala. Hapa kwetu usipopatwa na risasi basi ni rumande kila siku.
Heshima ni jambo la bure, ukijiheshimu, utaheshimiwa!
 
Na anatakiwa awaheshimu raia wake ili nao wamheshimu, sio kuwatisha ili wamwogope.
 
Na anatakiwa awaheshimu raia wake ili nao wamheshimu, sio kuwatisha ili wamwogope.
Mbona Magufuli hatishi...kama anatisha jaribu kwenda kinyume na maagizo yake. Utakiona cha mtemakuni.

Sheria haitishi mkuu.
 
Kazaliwa 2015, wakati inabomolewa hakuwepo. Sawa!
Issue hakuwa na Rungu.

Bila shaka unaufahamu mchakamchaka wa Magu toka akiwa waziri.

Ana historia mbaya.
Ni muadilifu. Na hata urais kaupata kwa mapenzi ya Mungu na si mwanadamu.
.Ccm hawakuwa na namna. Ili wapite iliwabidi wamuweke mtu asie na madoa madoa.

ASANTE.
 
Mchakamchaka wa kuitia nchi hasara kwa kulipa mikataba iliyovunjwa kiholela, kugawa nyumba kwa ndugu, Rafiki na wapenzi, kuwatia mshike mshike wazabuni ili nyuma ya mlango wamrudie, hayo yaliripotiwa.
 
Mipango+jitihada=mafanikio hakuna kitu inakuja kwa muujiza hakuna haha ya kuwaonea wivu angalia vyako panga piga jitihada hakika utafanikiwa (poor mind discuss people,average mind discuss events but best mind discuss ideas)
 
Mipango+jitihada=mafanikio hakuna kitu inakuja kwa muujiza hakuna haha ya kuwaonea wivu angalia vyako panga piga jitihada hakika utafanikiwa (poor mind discuss people,average mind discuss events but best mind discuss ideas)
Umeelewa uzi au?
 
Mchakamchaka wa kuitia nchi hasara kwa kulipa mikataba iliyovunjwa kiholela, kugawa nyumba kwa ndugu, Rafiki na wapenzi, kuwatia mshike mshike wazabuni ili nyuma ya mlango wamrudie, hayo yaliripotiwa.
Unapoambiwa kitu usiamini kwanza kabla ya kufikiria nani kasema na ni kwanini.

Ukiambiwa kitu usiamini moja kwa moja tafuta evidence ndo uamini.

Una evidence ya unachokisema?
 
Mbona hakwenda Mahakamani kupinga
 
Back
Top Bottom