GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,006
- 126,388
''Yanga wameamua kuwapa Singida Black stars silaha Khalid Aucho na Clatous Chama ambazo hata wao wenyewe zinaweza kuwadhuru siku ambayo watakutana kama hakutakuwa na maelekezo mengi ,Singida wana timu bora sana kama watamuacha mwili apange kikosi chake mwenyewe kwa namna ambavyo anataka yeye ,Singida wanaweza wakawa mabingwa kwa msimu ujao''
Chanzo Taarifa: MwanaSpoti
Kumbe vilabu vyenye Urafiki na Ukaribu na Yanga SC huwa vinacheza kwa Maelekezo Mengi? Acheni tu wawe Mabingwa.
Chanzo Taarifa: MwanaSpoti
Kumbe vilabu vyenye Urafiki na Ukaribu na Yanga SC huwa vinacheza kwa Maelekezo Mengi? Acheni tu wawe Mabingwa.