Nikiwaangalia na kuwasikiliza wanachadema mmoja mmoja kama Peter Msigwa, God bless Lema, Sugu Lissu, na vijana wengi wa chama hiki hakika ni wazuri katika kujenga hoja ukitafuta wanaccm waje kushindana na chadema kwenye mdahalo CCM watapoteza asubuhi saana
Lakini kwenye ubora wa taasisi CCM wanawazidi CHADEMA mbali saana hapa ndo napata shida kwa mfano
Tangu kuanzishwa kwa chadema haina jengo lao wenyewe kama ofisi wana wanachama wengi nchi nzima kwann taasisi kubwa kama hii taifa wameshindwa kua kiwanja wameshindwa kujenga kwa miaka mingi je Hawa walioshindwa kujenga ofisi zao kwa kutumia wanachama walio nao je tukiwapa nchi wataweza kujenga madarasa na vituo vya afya kweli?
Matumizi ya pesa, ccm wizi wao upo kwenye rasilimali walizo nazo yaan mwanaccm kujimilikisha uwanja au jengo la chama ni Jambo la kawaida, CHADEMA nao walikua wanapata ruzuku, michango ya wanachama, Misaada mbali na kuuza brand za chama lakini matumizi yake hayako wazi ndo maana kuna kipindi wabunge wa chadema walikua wakilalamika makato kwenye mishahara yao na hawajui pesa inaenda wapi, Mimi kama mwananchi nikiyasikia hayo nashindwa kuiamini taasisi hii kua je siku tukiwapa nchi wataweza kweli kua wasafi kuliko CCM, hapa ni sawa nakua na mke mzinifu (CCM) alafu unataka kumwacha uoe mwingine (CHADEMA) lakini huyu mwingine mpya nae anakashfa ya uzinifu ndo unaona Bora ukumbatie huyu unaemjua zaidi.
Kubadilisha uongozi, tangu 1998 mwenyekiti ni mbowe tu habadiliki kwann, taasisi ina watu wengi kwann tusiwape wanachama wengine nafasi kuonesha uwezo wao CCM kubadilisha uongozi inawasaidia saana maana kila anaekuja anakuja na mtazamo mwingine unaweza ukamchukia mwenyekiti aliepita ukampenda aliepo madarakani, hii ndio huipa CCM uhai na muonekano mpya mbele ya wapiga kura, CHADEMA kama taasisi wanataka katiba ya nchi na moja ya hoja kubwa ni mamlaka ya Rais, tume huru ya uchaguzi na mgawanyo wa madaraka lakini chadema waseme mwisho wa mamlaka ya mwenyekiti wao ni upi je ndani ya chadema kuna uhuru wa kutosha katika suala la democracy, kama nashindwa kuyaona hayo ndani ya chadema nawezaje kuwaamini nikawapa kura yangu waweze kuniongoza tofauti na CCM.
Nidhamu ndani ya chama hivi chama kinawaleaje wanachama wake kama kuna malezi sahihi akina mdee wanapata wapi ujasiri wa kwenda kuapishwa bila ridhaa ya chama chao achana na ester bulaya ana damu ya CCM vipi Halima mdee kuna mwanadada nchi hii mpambanaji kwenye CHADEMA zaidi ya Halima kama Halima ameamua kufanya haya vpi kwa waliobakia CHADEMA bado wanalia Halima kua mbunge haramu lkn bdo Halima hawajatoka bungeni wamelelewaje achana na kukumbatiwa na mfumo wao wenyewe kwanini hawaoni shida kufanya uhaini huu kwenye chama chao.
Lakini kwenye ubora wa taasisi CCM wanawazidi CHADEMA mbali saana hapa ndo napata shida kwa mfano
Tangu kuanzishwa kwa chadema haina jengo lao wenyewe kama ofisi wana wanachama wengi nchi nzima kwann taasisi kubwa kama hii taifa wameshindwa kua kiwanja wameshindwa kujenga kwa miaka mingi je Hawa walioshindwa kujenga ofisi zao kwa kutumia wanachama walio nao je tukiwapa nchi wataweza kujenga madarasa na vituo vya afya kweli?
Matumizi ya pesa, ccm wizi wao upo kwenye rasilimali walizo nazo yaan mwanaccm kujimilikisha uwanja au jengo la chama ni Jambo la kawaida, CHADEMA nao walikua wanapata ruzuku, michango ya wanachama, Misaada mbali na kuuza brand za chama lakini matumizi yake hayako wazi ndo maana kuna kipindi wabunge wa chadema walikua wakilalamika makato kwenye mishahara yao na hawajui pesa inaenda wapi, Mimi kama mwananchi nikiyasikia hayo nashindwa kuiamini taasisi hii kua je siku tukiwapa nchi wataweza kweli kua wasafi kuliko CCM, hapa ni sawa nakua na mke mzinifu (CCM) alafu unataka kumwacha uoe mwingine (CHADEMA) lakini huyu mwingine mpya nae anakashfa ya uzinifu ndo unaona Bora ukumbatie huyu unaemjua zaidi.
Kubadilisha uongozi, tangu 1998 mwenyekiti ni mbowe tu habadiliki kwann, taasisi ina watu wengi kwann tusiwape wanachama wengine nafasi kuonesha uwezo wao CCM kubadilisha uongozi inawasaidia saana maana kila anaekuja anakuja na mtazamo mwingine unaweza ukamchukia mwenyekiti aliepita ukampenda aliepo madarakani, hii ndio huipa CCM uhai na muonekano mpya mbele ya wapiga kura, CHADEMA kama taasisi wanataka katiba ya nchi na moja ya hoja kubwa ni mamlaka ya Rais, tume huru ya uchaguzi na mgawanyo wa madaraka lakini chadema waseme mwisho wa mamlaka ya mwenyekiti wao ni upi je ndani ya chadema kuna uhuru wa kutosha katika suala la democracy, kama nashindwa kuyaona hayo ndani ya chadema nawezaje kuwaamini nikawapa kura yangu waweze kuniongoza tofauti na CCM.
Nidhamu ndani ya chama hivi chama kinawaleaje wanachama wake kama kuna malezi sahihi akina mdee wanapata wapi ujasiri wa kwenda kuapishwa bila ridhaa ya chama chao achana na ester bulaya ana damu ya CCM vipi Halima mdee kuna mwanadada nchi hii mpambanaji kwenye CHADEMA zaidi ya Halima kama Halima ameamua kufanya haya vpi kwa waliobakia CHADEMA bado wanalia Halima kua mbunge haramu lkn bdo Halima hawajatoka bungeni wamelelewaje achana na kukumbatiwa na mfumo wao wenyewe kwanini hawaoni shida kufanya uhaini huu kwenye chama chao.