never Se me
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 702
- 1,006
Mzeee Acha Ujua Kama sio Mnunuzi Acha Kusibia WenzioSoon ataliwa MTU kichwa.
Alert ya uzumaridi inanijia kichwani
Sijamzibia MTU rizki Mimi , rizki yake IPO chini ya mungu wake,Mzeee Acha Ujua Kama sio Mnunuzi Acha Kusibia Wenzio
Nimeweka Apo Mawasiliano Yangu .Lakini Bado Unataka Kumanisha Vile Ambavyo Wewe Unajisikia. Wewe Ni YouTuber? Au Umeamua Kutumia Ubungo Wako Kwenye Tangazo LanguSijamzibia MTU rizki Mimi , rizki yake IPO chini ya mungu wake,
Mi nimetoa alert kwani kina zumaridi walikuja hivohivo.
Kaka nimekosa Mimi nisamehe Sana sikujua kama nitakuharibia biashara yako Ila kama utakuwa sio muelewa na hapa basi fresh Tu kama mbwai mbwai Tu.Nimeweka Apo Mawasiliano Yangu .Lakini Bado Unataka Kumanisha Vile Ambavyo Wewe Unajisikia. Wewe Ni YouTuber? Au Umeamua Kutumia Ubungo Wako Kwenye Tangazo Langu
Never kumbembeleza mwanaume mwenzioNimeweka Apo Mawasiliano Yangu .Lakini Bado Unataka Kumanisha Vile Ambavyo Wewe Unajisikia. Wewe Ni YouTuber? Au Umeamua Kutumia Ubungo Wako Kwenye Tangazo Langu
Sorry sikuandika Bei Ni 2.5MBei gani
Mapato Ya YouTube yanatokana Na Ufanyaji Kazi. Nini Unapost Je Unapata View..Ko Mapato Ayalingani Kila MweziInaingiza shingapi kwa mda gani?
Aina Ya Watu Kama Wewe Mupo Wengi Sana. Ungetaka Kumanisha Vile Ulivyo Jijengea Picha Kichwani, Ungenipigia Simu Ata Ujifanye Mteja Afu Ungekuja Kuweka Apa Itimisho Lako, Lakini Ukufanya ivoKaka nimekosa Mimi nisamehe Sana sikujua kama nitakuharibia biashara yako Ila kama utakuwa sio muelewa na hapa basi fresh Tu kama mbwai mbwai Tu.
Sina huo muda mkuu na kitu pekee nilichofanya ni kutoa tahdhari kama umemind fresh.Aina Ya Watu Kama Wewe Mupo Wengi Sana. Ungetaka Kumanisha Vile Ulivyo Jijengea Picha Kichwani, Ungenipigia Simu Ata Ujifanye Mteja Afu Ungekuja Kuweka Apa Itimisho Lako, Lakini Ukufanya ivo
Acha Unachofanya Mzee..Anaye Nunua Chanell Ni YouTuber..Na YouTuber Anajua Namna Ya Kununua Chanell. Akuna YouTuber Anaye Tapeliwa Wewe Sio YouTuber Acha Kunichafulia Tangazo LanguSina huo muda mkuu na kitu pekee nilichofanya ni kutoa tahdhari kama umemind fresh.
Ninachotaka kukushauri katika maisha haya usitegemeewatu wote watakukubali au watu wote watakukataa,tegemea wa Pande zote na jifunze kupokea challenge ndogondogo kama hizo.
Ukiendelea kuning'ang'ania utanifanya niamini kuwa wewe ni tapeli na kama so tapelli kwanini uchukie kauli yangu.