Mafundi walikuibia materials, hapo haizidi 15mHuo ujenzi wa hilo pagale tu unaouona hapo umegharimu TZS. 25m
Yana faida gani?Ningenunua, ila niliposkia eneo lenyewe ni popo bawa nikaona hapo kutakuwa na risk sana, nisije kupoteza marinda yangu huku najiona hivi hivi
😂 😂 😂Ningenunua, ila niliposkia eneo lenyewe ni popo bawa nikaona hapo kutakuwa na risk sana, nisije kupoteza marinda yangu huku najiona hivi hivi
Weee, bila hayo, ukitupia wazungu ni lazima ujinyee nyee tu. Unakuwa unampa kazi mke ya kufua fua nnya kila sikuYana faida gani?
18 haliendi mkuu? Samahani lakini kama nitakuwa nimekukwazaMZEE ANA SHIDA YA PESA NJOO LIPA 20M OFFER YA LEO LEO
Hilo jina la "Popo bawa" liministua kidogo!Eneo: 600 sqm
Ni hatua za kutembea 20 kutoka barabara kubwa inayotoka Magomeni kuelekea Sinza.
Nyumba imejengwa kwa chumba na sebule 4 zikiwa na block mbili zinazotazamana.
Chumba na sebule mbili zita-share choo na bafu upande wao, na block ingine inayotazamana nayo watafanya vivyo hivyo.
Siyo bondeni kwamba kunajaa maji, kumezungukwa na nyumba za kisasa mbele yake (ipo video nashindwa kui-upload hapa).
Pana nyaraka zote halali, na hakuna mgogoro wowote.
Bei: TZS. 29m
Call: 0717 650800
View attachment 2432188View attachment 2432190View attachment 2432195View attachment 2432196
Huo ujenzi wa hilo pagale tu unaouona hapo umegharimu TZS. 25m