Mitaa ya waswahili sana, Kama wewe siyo jamii ya ukanda wa pwani huta paweza kuishiBei rahisi sana.
Hapa una nunua unamalizia kujenga unapangisha.
Hapo ni maeneo ya uswazi haswaa. Wagalatia kama mimi ngumu kuishi mitaa hiyo.
Kwa mtogole Tandale hiyo barabara inayopita kutokea Magomeni kuanzia Sinza kijiweni, vaticani, White Inn, sweet corne, shule Tanesco, kwa mtogole, kwa Tumbo, kwa bi nusu,Magomeni popobawa ndio wapi huko?
Iko karibu na eneo gani maarufu
Lakini ni sehemu nzuri ipo katikati sehemu yoyote unaenda bila tabu ya usafiri wa ummaEti ndiko huko wanauza mil.29 .
Full uswazi yaani Far bwana Ni Basi tuu ila kunasikitisha
YeahKwa mtogole Tandale hiyo barabara inayopita kutokea Magomeni kuanzia Sinza kijiweni, vaticani, White Inn, sweet corne, shule Tanesco, kwa mtogole, kwa Tumbo, kwa bi nusu,
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
nimeishi pia mitaa hiyo kibaharia,maisha yoote huko ni bei chee na usilete ushua ishi kama wao tu vinginevyo usiseme hatujakwambiaKwa eneo lilipo hiyo hela ni ndogo sana.labda kama kuna jaa maji kipindi cha mvua ,hapo ni town kabisa kabisa ,
Way back nimeishi hiyo mitaaa