Nauza vifaa vyangu vya office!bei cheee

Nauza vifaa vyangu vya office!bei cheee

Kingsimba

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
382
Reaction score
121
Habari wakuu humu jf:nauza vifaa vyangu vya kazi yangu inayo niweka mjini ya uganga kama utanunua jumla basi nitakuongezea misukule mitatu kama nyongeza!
Kuna ilizi 8 nyekundu pembe ya nyoka vibuyu 19 venye uwezo wa hali ya juu na tv ya asili inayoshika digitali yenye ukubwa wa inch 3....vfuvu la marihemu
 
Haina tatizo nimefikili na chatu wawili wameongezeka na ungo wa safari wenye spiidi ya 666
 
Mi nataka uchawi niwe kama popobawa
 
Na majini yapo mangapi mkuu?
 
Majini naenda kumuuzia asad wa silya......ila nina bindi wazee wawili na mayai tisa
 
aaaah mi nilifikiri tv inaonyesha dijiti kumbe digitatali
 
oopss....:faint:kumbe sio chit chat hapa :shetani:
 
hahhahah mmenichesha sana,naisi mna kaujuzi hata kwa umbali lol:tape2:
 
mkuu katika hivyo vifaa kama kipo kile cha kunatiana niPM tafadhari!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom