Black Coffee
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,936
- 3,195
Nauza vifaa vya salon ya kike vifaa vyangu ni original na havijatumika muda mrefu draya 2 na blow dryer location ni arusha mjini ,maongezi yapo Karibuni
Typing error tuu mkuu lengo ni kuelewa Nadhani umeelewaSalon
Saloon = gari
Bei imeandikwa mkuu Soma kwa umakiniSh ngapi unauza??
Too bad kiongoziKimeo huko mbali Mimi nipo dar
mkuu hujaona au dharau mbona bei kaweka kwenye kichwa cha thread'Sh ngapi unauza??
Awamu hii fashion ni kunyoa tu wateja wa salon mwisho kwa jakaya, kwa magu ni mwendo wa viparaaKwa nini unauza?

Niko sekei vifaa viko NjiroArusha upo sehem gani mkuu?? me nipo Sombetin karibu na kanisa la Efatha.
Kwasababu nataka helaKwa nini unauza?
Wapo mkuu sana tuu lakini biashara ya salon inahitaji usimamizi ulio tukuka ,,tofauti utaishia kuibiwa hutaona hela ile uliotakiwa kuona! Nauza niongezee kwenye kitu kingine mambo yaende kuliko kuwa na biashara nisio ona faidaAwamu hii fashion ni kunyoa tu wateja wa salon mwisho kwa jakaya, kwa magu ni mwendo wa viparaa![]()