Nauza suruali za kadeti

Nauza suruali za kadeti

mkuu,ninazo tatu ni zile OG kabisa nilichukulia elfu 30 mpaka leo zipo powa na nina mbili nilichukua @23000 zina mwaka mzima zipo kama mpya yani,so bei sio tatizo ila ni wewe wakati wa kununua uangalia material vizuri
hata kuna jeans fulani mbili nilinunua @23000 aise nilivaa week moja tu zikaanza kuchanika mapajani lakini ninayo moja nilichukua mwaka 2018 ila mpaka leo ipo imara kabisa nikagundua zile jeans ambazo ni laini ni utopolo
Shida inayokuja ni kwenye kuzijua mana upigaji ni mwingi
 
Acha uchawi na ujue uchawi sio lazima kuwanga au kuruka na ungo
Hata hivi unavyofanya ni uchawi.
Niaje Dingimtoto?
Aisee sasa nahitaji kadeti mbili au tatu hivi. Size nayovaa 30/31.
Sasa napenda kuchagua, nitakupata wapi. Maana nikisema uniletee kwangu utabeba sample mbili tu nitakosa flexibility.
 
Niaje Dingimtoto?
Aisee sasa nahitaji kadeti mbili au tatu hivi. Size nayovaa 30/31.
Sasa napenda kuchagua, nitakupata wapi. Maana nikisema uniletee kwangu utabeba sample mbili tu nitakosa flexibility.
Shwari kamanda! Sawa unaweza nichek hapa 0657438581 au nitumie namba yako nikupigie, napia pia size ya kadeti kimsingi huanzia 30,32,34... na kuendelea.


Karibu
 
Shwari kamanda! Sawa unaweza nichek hapa 0657438581 au nitumie namba yako nikupigie, napia pia size ya kadeti kimsingi huanzia 30,32,34... na kuendelea.


Karibu
Unamaanisha size zinaenda kwa EVEN numbers? Sijaona ukiandika 31, 33 etc.
 
Staff jeans/office jeans
Hazipauki
Tsh 23,000
Wakazi wa dar nakuletea pasipo bure na ndugu zangu wa mikoani natuma kwa uamnifu mkmkibwAu ukiwa na ndugu dar tunawasiliana nampa mzigo wako
WhatsApp no 0657438581 au kawaida 0737446481
IMG-20201021-WA00.jpg
 
Unaonekana hujanyooka malizana na jamaa kwanza. Ashanitia wasiwasi kuhusiana na ubora wa cadet zako
Kuwa makini mzee,unachokiona na utakacholetewa ni vitu viwili tofauti, naafikiana na jamaa ata mimi nimewahi kuletewa na mwana flan nadhan ni hyu hyu, hazitazamiki sasa hvi na ni ndani ya miez miwili tu.
 
Kuwa makini mzee,unachokiona na utakacholetewa ni vitu viwili tofauti, naafikiana na jamaa ata mimi nimewahi kuletewa na mwana flan nadhan ni hyu hyu, hazitazamiki sasa hvi na ni ndani ya miez miwili tu.
Mkuu usipende kufurahisha umma kwa vitu usivokuwa na uhakika navo sijauza kadeti toka mwezi wa nne.
Kipindi Corona ilivoingia tz unavoandika nimekuletea miezi miwili sijui unamaana gan.?
 
Size 30-40
Office jeans wengine wanaita staff jeans au soft jeans
Tsh 23,000
IMG_2020-10-30-.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom