The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 8,011
- 11,430
Shida inayokuja ni kwenye kuzijua mana upigaji ni mwingimkuu,ninazo tatu ni zile OG kabisa nilichukulia elfu 30 mpaka leo zipo powa na nina mbili nilichukua @23000 zina mwaka mzima zipo kama mpya yani,so bei sio tatizo ila ni wewe wakati wa kununua uangalia material vizuri
hata kuna jeans fulani mbili nilinunua @23000 aise nilivaa week moja tu zikaanza kuchanika mapajani lakini ninayo moja nilichukua mwaka 2018 ila mpaka leo ipo imara kabisa nikagundua zile jeans ambazo ni laini ni utopolo
Staff jeans/office jeans
0657438581