dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,414
- 19,440
- Thread starter
- #641
Form six nzito
unavaa sehemu zozote inategemea na sehemu husika
tsh 17,000
unavaa sehemu zozote inategemea na sehemu husika
tsh 17,000
Shirt 17,000 tumikono mifupi ya kwanza
hii unaweza mecchisha na kadeti/jeans pia
na ya pili, Mikono mirefu bei ni 17,000View attachment 1369264View attachment 1369265
Hapana! MrMkuu wa mikoani ni free deriver pia?,nimezipenda hizi shirt
Aina hii ipo rangi ya ugoro tuBrand mpya
kadeti ya kuvutika
tsh 22,000
Kwa wakazi wa dar nakuletea hadi ulipo, mkoani nakutumia kwa unaminifu na gharama nafuu
WhatsApp namba 0657438581
View attachment 1387008
Kama kadet kiaje mkuu?Soft/staff wengine wanaziita office jeans
hizi ni kama kadeti
hazipuki
tsh 25,000 View attachment 1375590View attachment 1375592
Mosi Zinavutika
Mosi Zinavutika
Pili, material yake ni kama cadet zile ambazo zinavutika sio kama jeans ngumu ufuaji wake kwa wale wanaona jeans kufua ni ngumu basi hapa ni rahisi kwao
T-shirt kama hizi ukinitumia Sumbawanga bei inakuaje?
Mosi Zinavutika
Pili, material yake ni kama cadet zile ambazo zinavutika sio kama jeans ngumu ufuaji wake kwa wale wanaona jeans kufua ni ngumu basi hapa ni rahisi kwao
Ooh! Hizo sina kwa sasaHaina V tishet? Nataka v tishet. Tishet ambazo hazina cora.