Nauza suruali za kadeti

Form six nzito
unavaa sehemu zozote inategemea na sehemu husika
tsh 17,000
20200306_155836.jpeg
20200306_155758.jpeg
 
kadeti Tsh 23,000
Ya kuvutika
Wakazi wa dar nakuletea hadi ulipo

Mikoani natuma kwa uaminofi mkubwa!

Staff jeans aina hiyo ni tsh 23,000
hizo ni kama kadeti zinavutika
_wear_20200122_10-1-1.jpeg
20200207_2.jpeg
 
Brand mpya
kadeti ya kuvutika
tsh 23,000
Kwa wakazi wa dar nakuletea hadi ulipo, mkoani nakutumia kwa unaminifu na gharama nafuu
WhatsApp namba 0657438581

IMG-20200313-WA0012.jpeg
 
Mosi Zinavutika
Pili, material yake ni kama cadet zile ambazo zinavutika sio kama jeans ngumu ufuaji wake kwa wale wanaona jeans kufua ni ngumu basi hapa ni rahisi kwao

Hauna V tishet? Nataka v tishet. Tishet ambazo hazina cora.
 
☆Rangi ya ugoro
☆Unapata size kuanzia 30-40
☆Ni tsh 23,000
☆Wakazi wa dar ni free delivery
☆Ila mikoani natKaribuni
☆Kwa mawasiliano namba WhatsApp 0657438581 au
0737446481 hii haipo WhatsApp
Karibuni
Screenshot_2020-06-30-11-37-16-1.jpg
 
☆Kadeti zote hapa ni za kuvutika
☆ Na ni original (hazichuji)
☆kwa wakazi wa dar ni free delivery
20200621_2.jpg
 
Mkuu niwe mkweli kadeti zako ni MBAYA na FEKI kwa kiwango kilichopitiliza, ulinileteaga tatu nimevaa hata mwezi haukupita bt hazitamaniki, FEKI, FEKI, FEKI SIJAPATA ONA, kwa wateja wapya ambao hawajui status ya products unayouza utawapata bt kamwe mtu akinunua kwako huwezi ukamuona tena, itoshe tu kukwambia ACHA UHUNI NA UBABAISHAJI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom