bg_dg_dy
JF-Expert Member
- Feb 27, 2009
- 607
- 495
Habari wana Jamii Forums.
Ni nauza smartphone Tecno R7 iliyotumika miezi sita kwa bei ya tshs laki mbili na elfu ishirini (220,000/=) maelewano yapo. Imepasuka kidogo kioo ila inatumika vizuri sana.Gharama za kuweka kioo kipya ni elfu themanini.Sababu ya kuuza nimepata simu nyingine mpya.
Kwa anayetaka ani Pm
Ni nauza smartphone Tecno R7 iliyotumika miezi sita kwa bei ya tshs laki mbili na elfu ishirini (220,000/=) maelewano yapo. Imepasuka kidogo kioo ila inatumika vizuri sana.Gharama za kuweka kioo kipya ni elfu themanini.Sababu ya kuuza nimepata simu nyingine mpya.
Kwa anayetaka ani Pm