Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 20,534
- 41,280
Samsung wana balaa sana aisee ila wale wahuni wanaotoa simu kwa series ya Pro Max wana balaa zaidi..Samsung walifanya mapinduzi makubwa sana hii miaka.
Samsung wana balaa sana aisee ila wale wahuni wanaotoa simu kwa series ya Pro Max wana balaa zaidi..Samsung walifanya mapinduzi makubwa sana hii miaka.
Simu zao hazishuki bei kizembe hao wa Pro Max. Simu ya miaka minne ila bila Million upati.Samsung wana balaa sana aisee ila wale wahuni wanaotoa simu kwa series ya Pro Max wana balaa zaidi..
Ndio maana wahuni wanasema simu zao ni za kike ile kauli ya kushindwa tu Huawei nimeona wanatamba na Pura 80 ni simu nzuri sana inafanana vitu vingi na hao wahuni wa Pro Max.Simu zao hazishuki bei kizembe hao wa Pro Max. Simu ya miaka minne ila bila Million upati.
Ume iona Samsung s 25 ni kiwembe, camera kali mnoo.Samsung walifanya mapinduzi makubwa sana hii miaka.
Huawei mate xt uki ipata usi jiulize mara 2Ndio maana wahuni wanasema simu zao ni za kike ile kauli ya kushindwa tu Huawei nimeona wanatamba na Pura 80 ni simu nzuri sana inafanana vitu vingi na hao wahuni wa Pro Max.
Sitoki Samsung labda kiwanda kifungwe cha haya ma Utra..Huawei mate xt uki ipata usi jiulize mara 2
Hahaha, sawasawa .Sitoki Samsung labda kiwanda kifungwe cha haya ma Utra..
🤣🤣🤣Tanzania yangu.
Sawa mkuu. Nitakupa 5k ya soda dah!
🤣🤣🤣Tanzania yangu.
Sawa mkuu. Nitakupa 5k ya soda dah!
Aisee msimpige roba ya mbao huyo ndugu muuza simu, anauguliwa mjue!Nifanyie kamsimbazi , tumalize biashara usiku huuu itabidi utuletee hiyo simu kimara korogwe
Wasije tu kuondoa S-Pen support.Sitoki Samsung labda kiwanda kifungwe cha haya ma Utra..
Hawa jamaa wapo vizuri sana mazee..Wasije tu kuondoa S-Pen support.
Mwenyewe Ultra series naikubali kinomaHawa jamaa wapo vizuri sana mazee..