Nauza simu ya infinix note 2

Nauza simu ya infinix note 2

Vivan cappatinho

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2018
Posts
284
Reaction score
238
Haina tatizo lolote,inakioo kikubwa sana,inakaa na charge siku nzima ata kama umewasha data, imetumika miezi 5. Nicheki 0744101064 nipo mwanza
 
Hii post imenifikisha pabaya sana sio kweli mimi sijatembea na mwanafunzi wala sijampa mimba mtu yoyote nlitumia njia ile ili niuze simu alaka, kuna jamaa umu mse....... Kajifanya anatak kununua simu akaniita tukakutana.... Akanichomesha kwa askar dah nmetoa hela nying sana kwa ujinga wangu. Yan ndio natoa saivi police toka saa tatu asubuh yan jamaa kanichoma kwa police et nmempa mimba mwanafunzi alaf akatak na kunidhurum anawaambia police et hii simu ni yake sema police wanabusara sana wakagoma kumpa simu jamaa akaondoka akaniachia msala dah nimejifunza kitu
 
Hii post imenifikisha pabaya sana sio kweli mimi sijatembea na mwanafunzi wala sijampa mimba mtu yoyote nlitumia njia ile ili niuze simu alaka, kuna jamaa umu mse....... Kajifanya anatak kununua simu akaniita tukakutana.... Akanichomesha kwa askar dah nmetoa hela nying sana kwa ujinga wangu. Yan ndio natoa saivi police toka saa tatu asubuh yan jamaa kanichoma kwa police et nmempa mimba mwanafunzi alaf akatak na kunidhurum anawaambia police et hii simu ni yake sema police wanabusara sana wakagoma kumpa simu jamaa akaondoka akaniachia msala dah nimejifunza kitu
Ulivyoandika… ALAKA..... kwa kweli acha ushikwe tu..
 
Yani ad police kuja kuelewa nimezungushwa kama tiala kila sehemu niwaoneshe uyobmwanafunzi me ninawaambia npo serious sijampa mimba mwanafunzi nlitaka tu kuuza simu alaka awaelew wamekuja kuelewa muda huu baada ya kuwaambia kama wakimpata uyo mwanafunzi wanaelazmisha nimempa mimba nisifungwe miaka 30 waninyonge kabisa kabisa ata leo leo
 
Ww nimpumbavu yani mtu akwambie umeiba na ww unasema ndio nimeiba ukikua utaacha upumbavu wenu
 
Katika post za kipumbavu ni ile ulioweka, na sikuzote principal ya biashara usioneshe unashida kiasi gani sikuzote wateja huchukulia advantage kwako, ila pole yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom