Kurutamjanja
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 396
- 377
Wasukuma bhana, yeye akinunua kitu bei juu ndio anajiona mjaaaaaanja. Hiyo simu kwa jua hili ukipata mteja wa 200 k muuzie huyo mteja huku umempigia magoti.
Iwashe, ikiwaka jua ni mzimaKuna mtu anataka kuniuzia tecno J8 kwa 150 000/ anadai anadhida na pesa vp niichunguzeje kujua ka bado nzima. Nisaidien ataa ushaur ndugu zangu mambo ya cm m sijui
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa 150 siombaya. coz. sim zimeshuka. Bei. Sana. sema itakua imetumika Sana. mwenyew. natafuta ila. kwa 130. iwe bado. na. earphones zake.Kuna mtu anataka kuniuzia tecno J8 kwa 150 000/ anadai anadhida na pesa vp niichunguzeje kujua ka bado nzima. Nisaidien ataa ushaur ndugu zangu mambo ya cm m sijui
Sent using Jamii Forums mobile app