famba 06
Senior Member
- Dec 28, 2018
- 134
- 126
Nauza shamba nimepanda papai eka 1 na nusu,
Ukubwa wa shamba eka 5 maji yapo mengi, shamba lipo wilaya kisarawe njia ya chanika mwisho, shamba nimeng'oa visiki shamba zima, kuna kibanda cha bati tupu, pump, nimefunga bomba shamba, drip
Bei mil 45
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukubwa wa shamba eka 5 maji yapo mengi, shamba lipo wilaya kisarawe njia ya chanika mwisho, shamba nimeng'oa visiki shamba zima, kuna kibanda cha bati tupu, pump, nimefunga bomba shamba, drip
Bei mil 45
Sent using Jamii Forums mobile app