Naomba tofauti Zake ila ukitaka shamba ninalo na pia ukitaka pori ninalo
Trump babyShamba ni ardhi iliyolimwa na ina mazao amma ya kudumu amma ya muda mrefu amma ya muda mfupi.
Pori lina miti shamba na au manyasi tu ambayo si mazao ya kupelekwa sokoni.

Mwambie abadili![]()
Inatakiwa mleta mda ndiye aseme, si mimi, wangu ni ushauri tu.
kwa hiyo anauza pori tengefu au sio? angalieni Mali asili wanawaonaHeka 35 then kuna miche 20!!! Bado unaliita shamba! You are not serious.Shamba lipo Mkuranga kupita kimanzichana kijiji cha Mkiu km 6 kutoka barabara kuu iendayo Mtwara, ni heka 35 nauza zote kwa pamoja kila heka 550,000. Hakuna dalali mimi ndiyo mmiliki, kwa mawasiliano 0627748402. Karibuni
Inaweza kufika 20
Ukipata mteja nitafute nikupeleke Bar yenye mademu wakali apa town, Mil. 19 sio ndogo.Shamba lipo Mkuranga kupita kimanzichana kijiji cha Mkiu km 6 kutoka barabara kuu iendayo Mtwara, ni heka 35 nauza zote kwa pamoja kila heka 550,000. Hakuna dalali mimi ndiyo mmiliki, kwa mawasiliano 0627748402. Karibuni
Heka 15 nilipanda ufuta mwaka huu hivyo ziko safi, heka 10 zilikuwa na mihogo zimebaki 10 ambazo sikuwahi kuzigusa, may be ulitaka michungwa iwe mingapi katika hizo heka kumi ambazo bado hazijasafishwa na mikorosho iwe mingapi? Nisingeweza kufafanua hivi kwa kila mtu. Lakini nina imani walio serious wameshanipigia. Wengine asanteni kwa mawazoHeka 35 then kuna miche 20!!! Bado unaliita shamba! You are not serious.
Sorry mkuu.Kila anaeuza kitu ni mwanaume? Dada yako hawezi kumiliki ardhi?