Nauza shamba Marangu Moshi

Nauza shamba Marangu Moshi

Kaunara

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2013
Posts
258
Reaction score
540
Shamba ni eka moja maeneo ya meresini limepakana na mto wona. Maji mwaka mzima. Bei mil 45 maongezi yako.
 
Weka hapa muhtasari wa kikao cha wana ndugu kilicho kuruhusu kuuza hilo shamba
Vip utachukua? Au unataka tu usome? Biashara hii zaman ndo ilikuwa na utapeli ukitapelewa sasa jitathmini sana.
 
Million 45 kitalimwa kitu gani ili iweze kurudisha gharama za ununuzi wa Hilo shamba
Eneo lenyewe unalijua? Au unajisemesha tu? Ulizia utaambiwa ardhi bei gan hapo.
 
Million 45 kitalimwa kitu gani ili iweze kurudisha gharama za ununuzi wa Hilo shamba
Mkuu hiyo bei mbona chee sana hasa kwa hiyo location. Kujibu swali lako unaweza kupanda Parachichi tena limepakana na mto baada ya miaka mitano pesa yako imerudi na faida kemkem.
 
Meku unauza kihamba utalala wapi mzee??
Hivo ni vihamba vya asili haviuzwi
 
Meku unauza kihamba utalala wapi mzee??
Hivo ni vihamba vya asili haviuzwi
Kihamba kipo mwika ili ni shamba kama shamba hamna nyumba wala mtu hapo
 
Unaweza chimba mabwawa ya samaki shamba lina mto mkubwa sana pembeni wona. Maji hayakauki pia kuna mifereji ya maji kwajili ya kumwagilia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom