Nauza shamba langu heka 100

Nauza shamba langu heka 100

toccara

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2014
Posts
540
Reaction score
203
Habari, nauza shamba langu heka 100 zipo nyamaronda kijiji cha mkola, heka zote nauza kwa shilling 30,000,000/= Hakuna punguzo. Shamba lilikuwa safi ila sasa majani yameota. Linafaa kwa kilimo cha ufuta, mahindi, jamii ya mikunde, mihogo, matikiti kwa kuwa maji yapo karibu Sana.

Sababu za kuuza nategemea kuondoka nchini kwa muda mrefu Sina mtu anayeweza kuliangalia. Kwa mawasiliano 0627562004. Karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari, nauza shamba langu heka 100 zipo nyamaronda kijiji cha mkola,heka zote nauza kwa shilling 30,000,000/= Hakuna punguzo. Shamba lilikuwa safi ila sasa majani yameota. Linafaa kwa kilimo cha ufuta, mahindi, jamii ya mikunde, mihogo, matikiti kwa kuwa maji yapo karibu Sana.
Sababu za kuuza nategemea kuondoka nchini kwa muda mrefu Sina mtu anayeweza kuliangalia. Kwa mawasiliano 0627562004. Karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
Kata, Wilaya, Mkoa, barabara, umeme!

If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat
 
Habari, nauza shamba langu heka 100 zipo nyamaronda kijiji cha mkola,heka zote nauza kwa shilling 30,000,000/= Hakuna punguzo. Shamba lilikuwa safi ila sasa majani yameota. Linafaa kwa kilimo cha ufuta, mahindi, jamii ya mikunde, mihogo, matikiti kwa kuwa maji yapo karibu Sana.
Sababu za kuuza nategemea kuondoka nchini kwa muda mrefu Sina mtu anayeweza kuliangalia. Kwa mawasiliano 0627562004. Karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanunuzi wanakuja kuwa na Subra,.. Hicho kijiji kipo Bukoba au? na vipi mtu akihitaji heka tano unauza?
 
hatuna haja ya kununua kama haulitumii tunajua LUKUVI ataugawia soon,umeona jana yameporwa yale mashamba 14 ndio maana na wewe umeamua uliingize sokoni,hatutaki,tunasubiri tugawiwe bure na serikali,maana miezi 6 haitofika tayari litakuwa ni mali ya serikali,kama unabisha usiuze harafu uone....mafisadi bana...
 
Habari, nauza shamba langu heka 100 zipo nyamaronda kijiji cha mkola,heka zote nauza kwa shilling 30,000,000/= Hakuna punguzo. Shamba lilikuwa safi ila sasa majani yameota. Linafaa kwa kilimo cha ufuta, mahindi, jamii ya mikunde, mihogo, matikiti kwa kuwa maji yapo karibu Sana.
Sababu za kuuza nategemea kuondoka nchini kwa muda mrefu Sina mtu anayeweza kuliangalia. Kwa mawasiliano 0627562004. Karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu kutoka nyamaronda hadi mkola ni km ngap? C unavuka magawa au hufiki?
 
Uza heka moja moja uambulie hata laki tano kwani mda si mrefu utadhulumiwa hilo shamba
 
Habari, nauza shamba langu heka 100 zipo nyamaronda kijiji cha mkola,heka zote nauza kwa shilling 30,000,000/= Hakuna punguzo. Shamba lilikuwa safi ila sasa majani yameota. Linafaa kwa kilimo cha ufuta, mahindi, jamii ya mikunde, mihogo, matikiti kwa kuwa maji yapo karibu Sana.
Sababu za kuuza nategemea kuondoka nchini kwa muda mrefu Sina mtu anayeweza kuliangalia. Kwa mawasiliano 0627562004. Karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
nyamaronda/mkola ndiyo wapi mkuu. Hebu fafanua kidogo
 
Kwa ufafanuzi kwa ajili ya muuzaji nyamaronda ipo wilaya ya mkuranga nadhan ni kijij kimoja kabla hujafka wilaya ya rufiji, hiyo mkola sasa kwa kweli nimepoteza kumbukumbu labda aje mwenyewe atuambie
 
Kwa ufafanuzi kwa ajili ya muuzaji nyamaronda ipo wilaya ya mkuranga nadhan ni kijij kimoja kabla hujafka wilaya ya rufiji, hiyo mkola sasa kwa kweli nimepoteza kumbukumbu labda aje mwenyewe atuambie
Kutoka Mkuranga kuna wilaya ya Kibiti ndio unafika wilaya ya Rufiji.
 
Habari, nauza shamba langu heka 100 zipo nyamaronda kijiji cha mkola,heka zote nauza kwa shilling 30,000,000/= Hakuna punguzo. Shamba lilikuwa safi ila sasa majani yameota. Linafaa kwa kilimo cha ufuta, mahindi, jamii ya mikunde, mihogo, matikiti kwa kuwa maji yapo karibu Sana.
Sababu za kuuza nategemea kuondoka nchini kwa muda mrefu Sina mtu anayeweza kuliangalia. Kwa mawasiliano 0627562004. Karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkola ni wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom