Livanga
JF-Expert Member
- Apr 15, 2010
- 475
- 157
Nauza shamba lenye ukubwa wa ekari mbili. lipo maeneo ya kibaha boko mnemela karibu kabisa na barabara ya kutokea mlandizi. umbali wa km12 kutoka tumbi. Eneo husika kuna umeme so ukijenga pale umeme ni fasta tu.
Kama uko seriuos na biashara niibox
Bei 8 Million
Kama uko seriuos na biashara niibox
Bei 8 Million