Nauza shamba la ekari 12

Nauza shamba la ekari 12

Prisoner 46664

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2010
Posts
1,948
Reaction score
1,238
Wakuu,

Kwa aliye na interest,ninauza shamba langu la ekari 12 lililopo kiluvya makurunge.

Ni sehemu nzuri sana ya kufugia esp ng'ombe,kuku na kitimoto.Pia ni sehemu iliyoendelezwa,kuna chumba cha mlinzi na nyumba ya kufugia kwa kuanzia.

Bei ni TShs millioni 5 kila ekari,tutanegotiate juu ya bei ya majengo yaliyopo,ingawa haitakuwa kubwa.

Kazi kwenu wadau.
 
Mkuu, samahani naomba ufafanuzi. 10km toka barabara kuu bado kunaitwa Kiluvya?
nauliza kwa sababu kuna jamaa aliwahi kutangaza ana kiwanja kiko Mwenge km 48 toka kituo cha daladala, kumbe kiwanja kiko Bagamoyo!
 
Mkuu, samahani naomba ufafanuzi. 10km toka barabara kuu bado kunaitwa Kiluvya?
nauliza kwa sababu kuna jamaa aliwahi kutangaza ana kiwanja kiko Mwenge km 48 toka kituo cha daladala, kumbe kiwanja kiko Bagamoyo!

Ha ha haaa...bado ni kiluvya mkuu.ni sehemu iliyotulia sana for the long term.
 
Kilomita 10 toka barabara ya Morogoro, shamba lako litakuwa Kisarawe. Ni eneo zuri kwa shule, wilaya ya Kisarawe wako vizuri sana kwa kukarabati barabara zao, zinapitika mwaka mzima bila ya matatizo.
 
Kilomita 10 toka barabara ya Morogoro, shamba lako litakuwa Kisarawe. Ni eneo zuri kwa shule, wilaya ya Kisarawe wako vizuri sana kwa kukarabati barabara zao, zinapitika mwaka mzima bila ya matatizo.

Asante Asante
 
Back
Top Bottom