don mangi wewe ni mpayukaji c mnunuaji piga kimya. Wanunuzi wanapiga cm na wamekuja kuliona. Kama domo lako likanakuwasha subiri kesho uwanja wa taifa ukashangilie mpiri na c kudandia post zisizokuhusu. Nyambafu
eka moja milioni sita? Ndo unamaanisha hvi? Shamba lina nini sasa? Au shamba kavu tuu halina hata miti ndo unauza kwa bei hyo,toa maelezo kuna kajumba ka mfanyakazi labda,mabanda ya mifugo au nyasi tu ndo bei yote hiyo.