Tunzo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 4,125
- 2,449
Wakuu kama kichwa kinavyosena, shamba lipo kibaha kwa Mathias ukipita nyungu kuelekea msangani, ukubwa wake ni ekar moja na nusu na lipo tambarare bei ni 15M, sababu za Kuuza ni mambo yangu kwenda vibaya, nahitaji kuongeza mtaji wa biashara, sihitaji dalali, kwa anahitaji nichek kwa 0713415537 au 0684448888